Isaya 35:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Wakati huo kilema atapanda juu kama vile paa anavyofanya,+ na ulimi wa bubu utapaaza sauti kwa furaha.+ Kwa maana maji yatakuwa yamebubujika katika nyika, na mito katika nchi tambarare ya jangwani. Matendo 3:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 naye akaruka juu,+ akasimama na kuanza kutembea, kisha akaingia pamoja nao katika hekalu,+ akitembea na kuruka-ruka na kumsifu Mungu.
6 Wakati huo kilema atapanda juu kama vile paa anavyofanya,+ na ulimi wa bubu utapaaza sauti kwa furaha.+ Kwa maana maji yatakuwa yamebubujika katika nyika, na mito katika nchi tambarare ya jangwani.
8 naye akaruka juu,+ akasimama na kuanza kutembea, kisha akaingia pamoja nao katika hekalu,+ akitembea na kuruka-ruka na kumsifu Mungu.