Matendo 10:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Ndipo Petro akafungua kinywa chake na kusema: “Kwa hakika ninaona kwamba Mungu hana ubaguzi,+ Matendo 11:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kwa hiyo, ikiwa Mungu aliwapa hao zawadi ileile ya bure kama vile alivyotupa sisi pia ambao tumemwamini Bwana Yesu Kristo,+ mimi ni nani hata niweze kumzuia Mungu?”+
17 Kwa hiyo, ikiwa Mungu aliwapa hao zawadi ileile ya bure kama vile alivyotupa sisi pia ambao tumemwamini Bwana Yesu Kristo,+ mimi ni nani hata niweze kumzuia Mungu?”+