1 Wathesalonike 1:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 1 Paulo na Silvano+ na Timotheo+ kwa kutaniko la Wathesalonike katika muungano+ na Mungu Baba na Bwana Yesu Kristo: Na muwe na fadhili zisizostahiliwa na amani.+ 1 Petro 5:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kupitia Silvano,+ ndugu mwaminifu, kama ninavyomhesabu yeye, nimewaandikia ninyi kwa maneno machache,+ ili kutoa kitia-moyo na ushahidi wa bidii kwamba hizi ndizo fadhili zisizostahiliwa za Mungu zilizo za kweli; katika hizo simameni imara.+
1 Paulo na Silvano+ na Timotheo+ kwa kutaniko la Wathesalonike katika muungano+ na Mungu Baba na Bwana Yesu Kristo: Na muwe na fadhili zisizostahiliwa na amani.+
12 Kupitia Silvano,+ ndugu mwaminifu, kama ninavyomhesabu yeye, nimewaandikia ninyi kwa maneno machache,+ ili kutoa kitia-moyo na ushahidi wa bidii kwamba hizi ndizo fadhili zisizostahiliwa za Mungu zilizo za kweli; katika hizo simameni imara.+