Matendo 15:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Kwa hiyo tunawatuma Yuda na Sila,+ ili wao pia wapate kueleza mambo hayohayo kwa maneno.+ 2 Wathesalonike 1:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 1 Paulo na Silvano na Timotheo+ kwa kutaniko la Wathesalonike katika muungano na Mungu Baba yetu na Bwana Yesu Kristo: 1 Petro 5:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kupitia Silvano,+ ndugu mwaminifu, kama ninavyomhesabu yeye, nimewaandikia ninyi kwa maneno machache,+ ili kutoa kitia-moyo na ushahidi wa bidii kwamba hizi ndizo fadhili zisizostahiliwa za Mungu zilizo za kweli; katika hizo simameni imara.+
1 Paulo na Silvano na Timotheo+ kwa kutaniko la Wathesalonike katika muungano na Mungu Baba yetu na Bwana Yesu Kristo:
12 Kupitia Silvano,+ ndugu mwaminifu, kama ninavyomhesabu yeye, nimewaandikia ninyi kwa maneno machache,+ ili kutoa kitia-moyo na ushahidi wa bidii kwamba hizi ndizo fadhili zisizostahiliwa za Mungu zilizo za kweli; katika hizo simameni imara.+