1Paulo na Timotheo, watumwa+ wa Kristo Yesu, kwa watakatifu wote katika muungano na Kristo Yesu walio katika Filipi,+ pamoja na waangalizi na watumishi wa huduma:+
2 bali jinsi, baada ya sisi kuwa tumeteseka+ kwanza na kutendewa kwa dharau+ (kama mnavyojua) katika Filipi,+ tulijipa ujasiri kwa njia ya Mungu wetu ili kuwaambia+ ninyi habari njema ya Mungu kwa kupambana sana.