Matendo 18:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Sasa Myahudi fulani anayeitwa Apolo,+ mzaliwa wa Aleksandria, mwanamume mfasaha, akafika Efeso; naye alikuwa mwenye ujuzi mwingi sana wa Maandiko.+ 1 Wakorintho 3:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Basi, Apolo+ ni nani? Ndiyo, Paulo ni nani? Wahudumu+ ambao kupitia wao mlikuja kuwa waamini, kama vile Bwana alivyompa kila mmoja.
24 Sasa Myahudi fulani anayeitwa Apolo,+ mzaliwa wa Aleksandria, mwanamume mfasaha, akafika Efeso; naye alikuwa mwenye ujuzi mwingi sana wa Maandiko.+
5 Basi, Apolo+ ni nani? Ndiyo, Paulo ni nani? Wahudumu+ ambao kupitia wao mlikuja kuwa waamini, kama vile Bwana alivyompa kila mmoja.