Matendo 19:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Ikawa, Apolo+ alipokuwa Korintho, Paulo akapita barani na kushuka mpaka Efeso,+ akakuta wanafunzi fulani; 1 Wakorintho 1:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Ninalomaanisha ni hili, kwamba kila mmoja wenu anasema: “Mimi ni wa Paulo,” “Lakini mimi ni wa Apolo,”+ “Lakini mimi ni wa Kefa,” “Lakini mimi ni wa Kristo.” 1 Wakorintho 3:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Mimi nilipanda,+ Apolo akatia maji,+ lakini Mungu akaendelea kuikuza;+
19 Ikawa, Apolo+ alipokuwa Korintho, Paulo akapita barani na kushuka mpaka Efeso,+ akakuta wanafunzi fulani;
12 Ninalomaanisha ni hili, kwamba kila mmoja wenu anasema: “Mimi ni wa Paulo,” “Lakini mimi ni wa Apolo,”+ “Lakini mimi ni wa Kefa,” “Lakini mimi ni wa Kristo.”