56 Na kokote alikokuwa akiingia vijijini au majijini au mashambani+ walikuwa wakiweka wale wagonjwa sokoni, nao walikuwa wakiomba ili wapate kuugusa+ tu upindo+ wa vazi lake la nje. Na wote waliougusa wakapona.+
15 hivi kwamba wakawaleta wagonjwa nje hata katika zile njia pana na kuwalaza huko juu ya vitanda na machela, ili, wakati Petro anapopita hapo, angalau kivuli chake kipate kumwangukia mtu fulani kati yao.+