Wafilipi 1:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kwa maana Mungu ni shahidi wangu kuhusu jinsi ninavyowatamani sana ninyi nyote kwa namna ya upendo mwororo+ kama alio nao Kristo Yesu. Wafilipi 4:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa hiyo, ndugu zangu wapendwa na wanaotamaniwa, shangwe yangu na taji+ langu, simameni imara+ katika njia hii katika Bwana, wapendwa. 1 Wathesalonike 2:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Na kwa habari yetu wenyewe, akina ndugu, tulipoachwa mayatima bila ninyi kwa wakati mfupi tu, kimwili, si katika moyo, tulijitahidi zaidi kuliko ilivyo kawaida ili kuona nyuso zenu tukiwa na tamaa kubwa.+
8 Kwa maana Mungu ni shahidi wangu kuhusu jinsi ninavyowatamani sana ninyi nyote kwa namna ya upendo mwororo+ kama alio nao Kristo Yesu.
4 Kwa hiyo, ndugu zangu wapendwa na wanaotamaniwa, shangwe yangu na taji+ langu, simameni imara+ katika njia hii katika Bwana, wapendwa.
17 Na kwa habari yetu wenyewe, akina ndugu, tulipoachwa mayatima bila ninyi kwa wakati mfupi tu, kimwili, si katika moyo, tulijitahidi zaidi kuliko ilivyo kawaida ili kuona nyuso zenu tukiwa na tamaa kubwa.+