2Basi, ikiwa kuna kitia-moyo chochote katika Kristo,+ kukiwa na faraja yoyote ya upendo, kukiwa na ushirika wowote wa roho,+ kukiwa na upendo mwororo+ na huruma zozote
25 bila kuacha kukusanyika pamoja sisi wenyewe,+ kama vile wengine walivyo na desturi, bali tutiane moyo,+ na kufanya hivyo zaidi kwa kadiri mnavyoona siku ile kuwa inakaribia.+