20 kwa kupatana na tarajio langu lenye hamu+ na tumaini+ kwamba sitaona aibu+ kwa njia yoyote, bali kwamba katika uhuru wote wa kusema,+ Kristo, kama sikuzote hapo mwanzoni, atatukuzwa hivyo sasa kwa njia ya mwili wangu,+ iwe ni kupitia uzima au ni kupitia kifo.+