Matendo 13:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Na jambo hilo la kwamba yeye alimfufua kutoka kwa wafu akikusudiwa asirudi tena kwenye uharibifu, yeye amelisema katika njia hii, ‘Nitawapa ninyi fadhili zenye upendo kwa Daudi ambazo ni za uaminifu.’+ 1 Wakorintho 15:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Hata hivyo, sasa Kristo amefufuliwa kutoka kwa wafu,+ matunda ya kwanza+ ya wale ambao wamelala usingizi katika kifo.+
34 Na jambo hilo la kwamba yeye alimfufua kutoka kwa wafu akikusudiwa asirudi tena kwenye uharibifu, yeye amelisema katika njia hii, ‘Nitawapa ninyi fadhili zenye upendo kwa Daudi ambazo ni za uaminifu.’+
20 Hata hivyo, sasa Kristo amefufuliwa kutoka kwa wafu,+ matunda ya kwanza+ ya wale ambao wamelala usingizi katika kifo.+