2 Wakorintho 10:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa maana silaha za vita vyetu si za kimwili,+ bali ni zenye nguvu kwa Mungu+ kwa ajili ya kupindua ngome zenye nguvu. Waefeso 6:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Pia, ipokeeni kofia ya chuma+ ya wokovu, na upanga+ wa roho,+ yaani, neno la Mungu,+
4 Kwa maana silaha za vita vyetu si za kimwili,+ bali ni zenye nguvu kwa Mungu+ kwa ajili ya kupindua ngome zenye nguvu.