Kumbukumbu la Torati 30:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kwa maana neno hilo liko karibu sana nawe, katika kinywa chako mwenyewe na katika moyo wako mwenyewe,+ ili ulifanye.+ Yohana 6:45 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 45 Imeandikwa katika Manabii, ‘Na wote watafundishwa na Yehova.’+ Kila mtu ambaye amesikia kutoka kwa Baba na ambaye amejifunza huja kwangu.+ Matendo 16:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Na mwanamke fulani anayeitwa Lidia, muuzaji wa nguo za rangi ya zambarau, wa jiji la Thiatira+ aliyekuwa mwabudu wa Mungu, alikuwa akisikiliza, na Yehova akafungua wazi moyo+ wake asikilize kwa makini mambo yaliyokuwa yakisemwa na Paulo.
14 Kwa maana neno hilo liko karibu sana nawe, katika kinywa chako mwenyewe na katika moyo wako mwenyewe,+ ili ulifanye.+
45 Imeandikwa katika Manabii, ‘Na wote watafundishwa na Yehova.’+ Kila mtu ambaye amesikia kutoka kwa Baba na ambaye amejifunza huja kwangu.+
14 Na mwanamke fulani anayeitwa Lidia, muuzaji wa nguo za rangi ya zambarau, wa jiji la Thiatira+ aliyekuwa mwabudu wa Mungu, alikuwa akisikiliza, na Yehova akafungua wazi moyo+ wake asikilize kwa makini mambo yaliyokuwa yakisemwa na Paulo.