Mathayo 4:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Ndipo Yesu akamwambia: “Nenda zako, Shetani! Kwa maana imeandikwa, ‘Yehova Mungu wako ndiye unayepaswa kumwabudu,+ na yeye peke yake+ ndiye unayepaswa kumtolea utumishi mtakatifu.’ ”+ Yohana 8:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 nanyi mtaijua kweli,+ nayo kweli itawaweka ninyi huru.”+ Waroma 2:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 hata hivyo, kwa wale wenye ugomvi+ na wale wasioitii kweli+ bali hutii ukosefu wa uadilifu kutakuwa na ghadhabu na hasira,+
10 Ndipo Yesu akamwambia: “Nenda zako, Shetani! Kwa maana imeandikwa, ‘Yehova Mungu wako ndiye unayepaswa kumwabudu,+ na yeye peke yake+ ndiye unayepaswa kumtolea utumishi mtakatifu.’ ”+
8 hata hivyo, kwa wale wenye ugomvi+ na wale wasioitii kweli+ bali hutii ukosefu wa uadilifu kutakuwa na ghadhabu na hasira,+