Matendo 3:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 lakini mlimuua Wakili Mkuu wa uzima.+ Lakini Mungu alimfufua kutoka kwa wafu, uhakika ambao sisi ni mashahidi+ wake. Waroma 4:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 bali pia kwa ajili yetu ambao itahesabiwa, kwa sababu tunamwamini yeye aliyemfufua Yesu Bwana wetu kutoka kwa wafu.+ 1 Petro 1:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 ninyi ambao kupitia yeye ni wenye kumwamini Mungu,+ yeye aliyemfufua kutoka kwa wafu+ na kumpa utukufu;+ ili imani na tumaini lenu viwe katika Mungu.+
15 lakini mlimuua Wakili Mkuu wa uzima.+ Lakini Mungu alimfufua kutoka kwa wafu, uhakika ambao sisi ni mashahidi+ wake.
24 bali pia kwa ajili yetu ambao itahesabiwa, kwa sababu tunamwamini yeye aliyemfufua Yesu Bwana wetu kutoka kwa wafu.+
21 ninyi ambao kupitia yeye ni wenye kumwamini Mungu,+ yeye aliyemfufua kutoka kwa wafu+ na kumpa utukufu;+ ili imani na tumaini lenu viwe katika Mungu.+