Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 15:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Sehemu ya mazao ya kwanza ya unga wenu wenye chenga-chenga mtaitoa ikiwa mchango kwa Yehova katika vizazi vyenu vyote.

  • Nehemia 10:37
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 37 Pia, mazao ya kwanza ya unga wetu wenye chenga-chenga+ na michango+ yetu na matunda ya kila namna ya mti,+ divai mpya+ na mafuta+ inatupasa tulete kwa makuhani katika majumba ya kulia chakula+ ya nyumba ya Mungu wetu, pia sehemu ya kumi kutoka katika udongo wetu tuwaletee Walawi,+ kwa maana wao, Walawi, ndio hupokea sehemu ya kumi katika majiji yetu yote ya kilimo.

  • Ezekieli 44:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Na ya kwanza kati ya matunda ya kwanza yaliyoiva ya kila kitu na kila mchango wa kila kitu kutoka katika michango yenu yote—yatakuwa ni ya makuhani;+ na matunda ya kwanza ya unga wenu wenye chenga-chenga mtawapa makuhani,+ ili kufanya baraka ikae juu ya nyumba yako.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki