34 Lakini Musa alipokuwa akiingia ndani mbele za Yehova kusema naye, alikuwa akiutoa utaji mpaka wakati wa kutoka kwake nje.+ Naye akatoka nje na kusema na wana wa Israeli mambo aliyokuwa akiamriwa.+
26 na kwa namna hii Israeli+ wote wataokolewa. Kama ilivyoandikwa: “Mkombozi atatoka katika Sayuni+ na kuondolea mbali mazoea ya kutomwogopa Mungu kutoka katika Yakobo.+