Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 34:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Lakini Musa alipokuwa akiingia ndani mbele za Yehova kusema naye, alikuwa akiutoa utaji mpaka wakati wa kutoka kwake nje.+ Naye akatoka nje na kusema na wana wa Israeli mambo aliyokuwa akiamriwa.+

  • Waroma 11:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Wao pia, ikiwa hawatadumu katika ukosefu wao wa imani, watapandikizwa;+ kwa maana Mungu anaweza kuwapandikiza tena.

  • Waroma 11:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 na kwa namna hii Israeli+ wote wataokolewa. Kama ilivyoandikwa: “Mkombozi atatoka katika Sayuni+ na kuondolea mbali mazoea ya kutomwogopa Mungu kutoka katika Yakobo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki