Waroma 8:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Basi, ikiwa roho ya yule aliyemfufua Yesu kutoka kwa wafu inakaa ndani yenu, yeye aliyemfufua Kristo Yesu kutoka kwa wafu+ ataifanya pia miili yenu inayoweza kufa iwe hai+ kupitia roho yake inayokaa ndani yenu. 1 Wakorintho 6:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Lakini Mungu alimfufua Bwana+ na pia atatufufua sisi kutoka kwenye kifo+ kupitia nguvu zake.+
11 Basi, ikiwa roho ya yule aliyemfufua Yesu kutoka kwa wafu inakaa ndani yenu, yeye aliyemfufua Kristo Yesu kutoka kwa wafu+ ataifanya pia miili yenu inayoweza kufa iwe hai+ kupitia roho yake inayokaa ndani yenu.