2 Wakorintho 3:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Je, tunaanza tena kujipendekeza wenyewe?+ Au je, sisi, labda, kama watu fulani, tunahitaji barua+ za pendekezo kuja au kutoka kwenu? 2 Wakorintho 10:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa maana sisi hatuthubutu kujiweka katika kikundi cha watu fulani au kujilinganisha na watu fulani ambao hujipendekeza wenyewe.+ Hakika wao kwa kujipima wenyewe kwa wenyewe na kujilinganisha wenyewe kwa wenyewe, hawana uelewaji.+
3 Je, tunaanza tena kujipendekeza wenyewe?+ Au je, sisi, labda, kama watu fulani, tunahitaji barua+ za pendekezo kuja au kutoka kwenu?
12 Kwa maana sisi hatuthubutu kujiweka katika kikundi cha watu fulani au kujilinganisha na watu fulani ambao hujipendekeza wenyewe.+ Hakika wao kwa kujipima wenyewe kwa wenyewe na kujilinganisha wenyewe kwa wenyewe, hawana uelewaji.+