2 Wakorintho 3:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Je, tunaanza tena kujipendekeza wenyewe?+ Au je, sisi, labda, kama watu fulani, tunahitaji barua+ za pendekezo kuja au kutoka kwenu? 2 Wakorintho 5:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Hatujipendekezi+ wenyewe tena kwenu, bali tunawapa ninyi kichocheo cha kujisifu kuhusiana na sisi,+ ili mpate kuwa na jibu la kuwapa wale ambao hujisifu juu ya sura ya nje+ lakini si juu ya moyo.+
3 Je, tunaanza tena kujipendekeza wenyewe?+ Au je, sisi, labda, kama watu fulani, tunahitaji barua+ za pendekezo kuja au kutoka kwenu?
12 Hatujipendekezi+ wenyewe tena kwenu, bali tunawapa ninyi kichocheo cha kujisifu kuhusiana na sisi,+ ili mpate kuwa na jibu la kuwapa wale ambao hujisifu juu ya sura ya nje+ lakini si juu ya moyo.+