44 kwa sababu wote walitumbukiza ndani kutokana na ziada yao, lakini yeye, kutokana na uhitaji wake, alitumbukiza ndani vyote alivyokuwa navyo, riziki yake yote.”+
29 Kwa hiyo wanafunzi wakaamua, kila mmoja kwa kadiri ambayo yeyote angeweza kutoa,+ wafanye huduma ya kupeleka misaada+ kwa akina ndugu waliokuwa wakikaa Yudea;