10 Hiyo ndiyo sababu naandika mambo haya nikiwa sipo, ili, nitakapokuwapo, nisitende kwa ukali+ kulingana na mamlaka ambayo Bwana alinipa, ili kujenga+ na si kubomoa.
17 Watiini wale wanaoongoza katikati yenu+ na mnyenyekee,+ kwa maana wanaendelea kuzilinda nafsi zenu kama wale watakaotoa hesabu;+ ili wafanye hivyo kwa shangwe na si kwa kuugua, kwa maana kufanya hivyo kungewadhuru ninyi.+