1 Wakorintho 2:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Nami nilikuja kwenu katika udhaifu na katika woga na kwa kutetemeka kwingi;+ 2 Wakorintho 10:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Basi mimi mwenyewe, Paulo, nawasihi ninyi kwa upole+ na fadhili+ za Kristo, ingawa kuonekana kwangu+ katikati yenu ni kwa hali ya chini, lakini nisipokuwapo mimi ni jasiri kuwaelekea ninyi.+
10 Basi mimi mwenyewe, Paulo, nawasihi ninyi kwa upole+ na fadhili+ za Kristo, ingawa kuonekana kwangu+ katikati yenu ni kwa hali ya chini, lakini nisipokuwapo mimi ni jasiri kuwaelekea ninyi.+