2 Wakorintho 10:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kwa maana hata nikijisifu+ mno kidogo juu ya mamlaka ambayo Bwana alitupa sisi ili tuwajenge wala si kuwabomoa ninyi,+ mimi sitaaibishwa, 2 Wakorintho 11:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Nasema tena, Mtu yeyote asifikiri kwamba mimi sina akili. Na bado, ikiwa kwa kweli mnafikiri hivyo, mnikubali hata ikiwa ni kana kwamba sina akili, ili mimi vilevile nijisifu+ kidogo kwa kiasi fulani.
8 Kwa maana hata nikijisifu+ mno kidogo juu ya mamlaka ambayo Bwana alitupa sisi ili tuwajenge wala si kuwabomoa ninyi,+ mimi sitaaibishwa,
16 Nasema tena, Mtu yeyote asifikiri kwamba mimi sina akili. Na bado, ikiwa kwa kweli mnafikiri hivyo, mnikubali hata ikiwa ni kana kwamba sina akili, ili mimi vilevile nijisifu+ kidogo kwa kiasi fulani.