Waroma 6:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Vivyo hivyo ninyi pia: jihesabuni wenyewe kuwa wafu+ kwelikweli kuhusiana na dhambi lakini walio hai+ kuhusiana na Mungu kwa njia ya Kristo Yesu. Waebrania 9:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 je, si zaidi damu+ ya Kristo, ambaye kupitia roho inayodumu milele alijitoa+ mwenyewe bila dosari kwa Mungu, itazisafisha+ dhamiri zetu kutoka katika matendo yaliyokufa+ ili tutoe utumishi mtakatifu+ kwa Mungu aliye hai?
11 Vivyo hivyo ninyi pia: jihesabuni wenyewe kuwa wafu+ kwelikweli kuhusiana na dhambi lakini walio hai+ kuhusiana na Mungu kwa njia ya Kristo Yesu.
14 je, si zaidi damu+ ya Kristo, ambaye kupitia roho inayodumu milele alijitoa+ mwenyewe bila dosari kwa Mungu, itazisafisha+ dhamiri zetu kutoka katika matendo yaliyokufa+ ili tutoe utumishi mtakatifu+ kwa Mungu aliye hai?