21 Lakini wamesikia uvumi ukitolewa juu yako kwamba wewe umekuwa ukiwafundisha Wayahudi wote kati ya mataifa uasi-imani wa kumwacha Musa,+ ukiwaambia wasiwatahiri+ watoto wao wala kujiendesha katika desturi za kisherehe.
6 Lakini sasa Yesu amepata utumishi wa watu wote ulio bora zaidi, hivi kwamba yeye pia ni mpatanishi+ wa agano lililo bora kwa kulinganishwa,+ ambalo limefanywa imara kisheria juu ya ahadi zilizo bora.+
10Kwa kuwa Sheria ina kivuli+ cha mambo mema yatakayokuja, lakini si umbo halisi la mambo hayo, watu hawawezi kamwe kuwafanya wale wanaokaribia kuwa wakamilifu+ kwa dhabihu zilezile mwaka baada ya mwaka ambazo wao huendelea kuzitoa.