Waroma 2:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Kwa maana yeye si Myahudi aliye hivyo kwa nje,+ wala kutahiriwa si kule ambako ni kwa nje juu ya mwili.+ 1 Wakorintho 7:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kutahiriwa+ hakumaanishi kitu, na kutotahiriwa+ hakumaanishi kitu, lakini kushika amri za Mungu kuna maana.+
28 Kwa maana yeye si Myahudi aliye hivyo kwa nje,+ wala kutahiriwa si kule ambako ni kwa nje juu ya mwili.+
19 Kutahiriwa+ hakumaanishi kitu, na kutotahiriwa+ hakumaanishi kitu, lakini kushika amri za Mungu kuna maana.+