Marko 14:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Naye akaendelea kusema: “Abba, Baba,+ mambo yote yanawezekana kwako; niondolee kikombe hiki. Lakini si lile ninalotaka, bali lile unalotaka.”+ Waroma 8:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kwa maana hamkupokea roho ya utumwa inayosababisha woga+ tena, bali mlipokea roho+ ya kufanywa kuwa wana,+ roho ambayo kupitia hiyo tunapaaza sauti: “Abba,+ Baba!”
36 Naye akaendelea kusema: “Abba, Baba,+ mambo yote yanawezekana kwako; niondolee kikombe hiki. Lakini si lile ninalotaka, bali lile unalotaka.”+
15 Kwa maana hamkupokea roho ya utumwa inayosababisha woga+ tena, bali mlipokea roho+ ya kufanywa kuwa wana,+ roho ambayo kupitia hiyo tunapaaza sauti: “Abba,+ Baba!”