Waroma 8:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Basi, ikiwa sisi ni watoto, sisi pia ni warithi: warithi wa Mungu kwelikweli, lakini warithi+ pamoja na Kristo, mradi tu tunateseka+ pamoja ili pia tutukuzwe pamoja.+ Wagalatia 3:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Zaidi ya hayo, ikiwa ninyi ni wa Kristo, ninyi kwa kweli ni uzao wa Abrahamu,+ warithi kuhusiana na ahadi.+ Waefeso 1:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 ambayo ni rehani+ ya kimbele ya urithi+ wetu, kwa kusudi la kuiachilia huru kupitia fidia+ mali+ ya Mungu mwenyewe, kwa sifa yake yenye utukufu.
17 Basi, ikiwa sisi ni watoto, sisi pia ni warithi: warithi wa Mungu kwelikweli, lakini warithi+ pamoja na Kristo, mradi tu tunateseka+ pamoja ili pia tutukuzwe pamoja.+
29 Zaidi ya hayo, ikiwa ninyi ni wa Kristo, ninyi kwa kweli ni uzao wa Abrahamu,+ warithi kuhusiana na ahadi.+
14 ambayo ni rehani+ ya kimbele ya urithi+ wetu, kwa kusudi la kuiachilia huru kupitia fidia+ mali+ ya Mungu mwenyewe, kwa sifa yake yenye utukufu.