Mwanzo 16:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Ndipo Sarai akamwambia Abramu: “Tafadhali sasa! Yehova amenifunga nisizae watoto.+ Tafadhali, lala na mjakazi wangu. Labda ninaweza kupata watoto kutokana naye.”+ Basi Abramu akaisikiliza sauti ya Sarai.+ Waroma 9:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Yaani, watoto kwa njia ya mwili+ si watoto wa Mungu kikweli,+ bali watoto kwa njia ya ahadi+ huhesabiwa kuwa ndio uzao.
2 Ndipo Sarai akamwambia Abramu: “Tafadhali sasa! Yehova amenifunga nisizae watoto.+ Tafadhali, lala na mjakazi wangu. Labda ninaweza kupata watoto kutokana naye.”+ Basi Abramu akaisikiliza sauti ya Sarai.+
8 Yaani, watoto kwa njia ya mwili+ si watoto wa Mungu kikweli,+ bali watoto kwa njia ya ahadi+ huhesabiwa kuwa ndio uzao.