1 Wakorintho 1:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Na muwe na fadhili zisizostahiliwa+ na amani+ kutoka kwa Mungu Baba yetu na Bwana Yesu Kristo.+ Wagalatia 6:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Na wale wote watakaotembea kwa utaratibu kwa kanuni hii ya mwenendo, juu yao kuwe na amani na rehema, ndiyo, juu ya Israeli wa Mungu.+ 2 Yohana 3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Fadhili zisizostahiliwa,+ rehema na amani zitakuwa pamoja nasi kutoka kwa Mungu Baba+ na kutoka kwa Yesu Kristo Mwana wa Baba, pamoja na kweli na upendo.+
16 Na wale wote watakaotembea kwa utaratibu kwa kanuni hii ya mwenendo, juu yao kuwe na amani na rehema, ndiyo, juu ya Israeli wa Mungu.+
3 Fadhili zisizostahiliwa,+ rehema na amani zitakuwa pamoja nasi kutoka kwa Mungu Baba+ na kutoka kwa Yesu Kristo Mwana wa Baba, pamoja na kweli na upendo.+