Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Matendo 4:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Zaidi ya hayo, umati wa waliokuwa wameamini ulikuwa na moyo na nafsi moja,+ na hakuna hata mmoja aliyekuwa akisema kwamba chochote kati ya vitu vilivyokuwa mali yake kilikuwa chake mwenyewe; bali walikuwa na vitu vyote kwa ushirika.+

  • Waroma 15:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 ili kwa umoja+ na kwa kinywa kimoja mpate kumtukuza Mungu na Baba ya Bwana wetu Yesu Kristo.

  • 1 Wakorintho 1:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Sasa nawahimiza+ ninyi, akina ndugu, kupitia jina+ la Bwana wetu Yesu Kristo kwamba nyote mseme kwa upatano,+ na kwamba kusiwe na migawanyiko+ katikati yenu, bali kwamba muunganishwe vema katika akili ileile na katika njia ileile ya kufikiri.+

  • Waefeso 4:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 mkijitahidi sana kuushika umoja wa roho katika kifungo chenye kuunganisha cha amani.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki