2 Wakorintho 7:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kwa maana ikiwa nimejisifu kwake kwa vyovyote juu yenu, sijapata aibu; lakini kama tulivyowaambia mambo yote katika kweli, ndivyo pia kujisifu+ kwetu mbele ya Tito kumekuwa kweli. 1 Wathesalonike 2:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kwa maana ni nini tumaini letu au shangwe au taji+ la furaha—je, kwa kweli si ninyi?—mbele ya Bwana wetu Yesu wakati wa kuwapo kwake?+
14 Kwa maana ikiwa nimejisifu kwake kwa vyovyote juu yenu, sijapata aibu; lakini kama tulivyowaambia mambo yote katika kweli, ndivyo pia kujisifu+ kwetu mbele ya Tito kumekuwa kweli.
19 Kwa maana ni nini tumaini letu au shangwe au taji+ la furaha—je, kwa kweli si ninyi?—mbele ya Bwana wetu Yesu wakati wa kuwapo kwake?+