Waroma 8:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Basi, ikiwa sisi ni watoto, sisi pia ni warithi: warithi wa Mungu kwelikweli, lakini warithi+ pamoja na Kristo, mradi tu tunateseka+ pamoja ili pia tutukuzwe pamoja.+ 2 Timotheo 2:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 tukiendelea kuvumilia, tutatawala pamoja pia tukiwa wafalme;+ tukimkana,+ yeye pia atatukana sisi;
17 Basi, ikiwa sisi ni watoto, sisi pia ni warithi: warithi wa Mungu kwelikweli, lakini warithi+ pamoja na Kristo, mradi tu tunateseka+ pamoja ili pia tutukuzwe pamoja.+
12 tukiendelea kuvumilia, tutatawala pamoja pia tukiwa wafalme;+ tukimkana,+ yeye pia atatukana sisi;