3 lakini katika nyakati zake mwenyewe zinazofaa alifanya neno lake liwe wazi katika kazi ya kuhubiri ambayo nilikabidhiwa,+ chini ya amri ya Mwokozi wetu,+ Mungu;
25 kwake Mungu pekee aliye Mwokozi wetu+ kupitia Yesu Kristo+ Bwana wetu, na kuwe utukufu,+ ukuu, nguvu+ na mamlaka+ kwa umilele wote uliopita+ na sasa na mpaka umilele wote.+ Amina.+