1 Wakorintho 9:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Kwa hiyo, jinsi ninavyokimbia+ si bila uhakika; jinsi ninavyoelekeza ngumi zangu ni ili nisiwe nikipiga hewa;+ 1 Timotheo 6:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Pigana pigano zuri la imani,+ ushike imara ule uzima wa milele ambao uliitiwa nawe ukatoa tangazo zuri la hadharani+ mbele ya mashahidi wengi.
26 Kwa hiyo, jinsi ninavyokimbia+ si bila uhakika; jinsi ninavyoelekeza ngumi zangu ni ili nisiwe nikipiga hewa;+
12 Pigana pigano zuri la imani,+ ushike imara ule uzima wa milele ambao uliitiwa nawe ukatoa tangazo zuri la hadharani+ mbele ya mashahidi wengi.