9 Kwa hiyo watu wakaanza kupiga mayowe+ kwa sauti kubwa, na wengine kati ya waandishi wa chama cha Mafarisayo wakasimama na kuanza kushindana vikali, wakisema: “Sisi hatuoni kosa lolote katika mtu huyu;+ lakini ikiwa roho au malaika alisema naye,+ —.”