-
Matendo 23:9Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
9 Kwa hiyo kukatokea kupiga yowe kwa sauti kubwa, na wengine kati ya waandishi wa chama cha Mafarisayo wakainuka na kuanza kushindana vikali, wakisema: “Sisi hatupati kosa lolote katika mtu huyu; lakini ikiwa roho au malaika alisema naye,—.”
-