Waroma 13:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kama katika wakati wa mchana na tujiendeshe kwa adabu,+ si katika karamu za kupindukia na vipindi vya kulewa,+ si katika ngono isiyo halali na mwenendo mpotovu,+ si katika mizozo+ na wivu. Wafilipi 2:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 bila kufanya jambo lolote kwa ugomvi+ au kwa kujisifu,+ bali kwa unyenyekevu wa akili mkiwaona wengine kuwa ni bora+ kuliko ninyi,
13 Kama katika wakati wa mchana na tujiendeshe kwa adabu,+ si katika karamu za kupindukia na vipindi vya kulewa,+ si katika ngono isiyo halali na mwenendo mpotovu,+ si katika mizozo+ na wivu.
3 bila kufanya jambo lolote kwa ugomvi+ au kwa kujisifu,+ bali kwa unyenyekevu wa akili mkiwaona wengine kuwa ni bora+ kuliko ninyi,