4 Hawa waliandamana naye, Sopatro+ mwana wa Piro wa Beroya, Aristarko+ na Sekundo wa Wathesalonike, na Gayo wa Derbe, na Timotheo,+ na kutoka wilaya ya Asia Tikiko+ na Trofimo.+
21 Basi ili ninyi mjue pia juu ya mambo yangu, kuhusu jinsi ninavyoendelea, Tikiko,+ ndugu mpendwa na mhudumu mwaminifu katika Bwana, atawajulisha ninyi kila jambo.+