Waroma 15:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Kweli, wamependezwa kufanya hivyo, na bado walikuwa wadeni kwao; kwa maana ikiwa mataifa wameshiriki mambo yao ya kiroho,+ wao pia wana deni la kuwahudumia hadharani kwa vitu ambavyo ni kwa ajili ya mwili.+ 1 Wakorintho 9:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Ikiwa tumepanda vitu vya kiroho+ kwenu, je, ni jambo kubwa tukivuna kutoka kwenu vitu vilivyo kwa ajili ya mwili?+
27 Kweli, wamependezwa kufanya hivyo, na bado walikuwa wadeni kwao; kwa maana ikiwa mataifa wameshiriki mambo yao ya kiroho,+ wao pia wana deni la kuwahudumia hadharani kwa vitu ambavyo ni kwa ajili ya mwili.+
11 Ikiwa tumepanda vitu vya kiroho+ kwenu, je, ni jambo kubwa tukivuna kutoka kwenu vitu vilivyo kwa ajili ya mwili?+