Matendo 16:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kwa hiyo akafika Derbe na pia Listra.+ Na, tazama! mwanafunzi fulani aliyeitwa Timotheo+ alikuwa huko, mwana wa mwanamke Myahudi aliye mwamini lakini wa baba Mgiriki, Waebrania 13:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Jueni kwamba ndugu yetu Timotheo+ ameachiliwa, naye akija hivi karibuni sana, nitawaona ninyi nikiwa pamoja naye.
16 Kwa hiyo akafika Derbe na pia Listra.+ Na, tazama! mwanafunzi fulani aliyeitwa Timotheo+ alikuwa huko, mwana wa mwanamke Myahudi aliye mwamini lakini wa baba Mgiriki,
23 Jueni kwamba ndugu yetu Timotheo+ ameachiliwa, naye akija hivi karibuni sana, nitawaona ninyi nikiwa pamoja naye.