51 Mimi ndio mkate ulio hai ulioshuka kutoka mbinguni; yeyote akila mkate huu ataishi milele; na, kwa kweli, mkate ambao nitatoa ni mwili+ wangu kwa ajili ya uzima wa ulimwengu.”+
2 na endeleeni kutembea katika upendo,+ kama vile Kristo pia alivyowapenda ninyi+ na kujitoa mwenyewe kwa ajili yenu kuwa toleo+ na dhabihu kwa Mungu ili kuwa harufu tamu.+