Waebrania 3:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 lakini Kristo alikuwa mwaminifu akiwa Mwana+ juu ya nyumba yake Huyo. Sisi ni nyumba yake Huyo,+ ikiwa tunashikilia sana uhuru wetu wa kusema na kujisifu kwetu juu ya tumaini, imara mpaka mwisho.+ Waebrania 6:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Tumaini+ hilo tunalo kama nanga ya nafsi, likiwa hakika na imara, nalo huingia mle ndani ya pazia,+
6 lakini Kristo alikuwa mwaminifu akiwa Mwana+ juu ya nyumba yake Huyo. Sisi ni nyumba yake Huyo,+ ikiwa tunashikilia sana uhuru wetu wa kusema na kujisifu kwetu juu ya tumaini, imara mpaka mwisho.+
19 Tumaini+ hilo tunalo kama nanga ya nafsi, likiwa hakika na imara, nalo huingia mle ndani ya pazia,+