Yohana 8:56 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 56 Baba yenu Abrahamu alishangilia sana katika tazamio la kuona siku yangu,+ naye aliiona na kushangilia.”+ Waebrania 13:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 kwa maana sisi hatuna hapa jiji linaloendelea kuwako,+ bali tunatafuta kwa bidii lile litakalokuja.+ Ufunuo 21:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Nikaona pia lile jiji takatifu,+ Yerusalemu Jipya, likishuka kutoka mbinguni+ kwa Mungu na limetayarishwa kama bibi-arusi+ aliyepambwa kwa ajili ya mume wake.+
56 Baba yenu Abrahamu alishangilia sana katika tazamio la kuona siku yangu,+ naye aliiona na kushangilia.”+
14 kwa maana sisi hatuna hapa jiji linaloendelea kuwako,+ bali tunatafuta kwa bidii lile litakalokuja.+
2 Nikaona pia lile jiji takatifu,+ Yerusalemu Jipya, likishuka kutoka mbinguni+ kwa Mungu na limetayarishwa kama bibi-arusi+ aliyepambwa kwa ajili ya mume wake.+