Waroma 10:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa maana kwa moyo+ mtu huonyesha imani kwa ajili ya uadilifu, lakini kwa kinywa mtu hufanya tangazo la hadharani+ kwa ajili ya wokovu. Yakobo 2:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Vivyo hivyo, pia, imani, ikiwa haina matendo,+ imekufa yenyewe.
10 Kwa maana kwa moyo+ mtu huonyesha imani kwa ajili ya uadilifu, lakini kwa kinywa mtu hufanya tangazo la hadharani+ kwa ajili ya wokovu.