Ayubu 13:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Naye ni kama kitu kilichooza ambacho huchakaa;+Kama vazi ambalo nondo kweli hula.+ Mathayo 6:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 “Acheni kujiwekea hazina+ duniani, ambako nondo na kutu hula, na ambako wezi huvunja na kuiba. Luka 12:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Uzeni+ mali yenu na mtoe zawadi za rehema.+ Jifanyieni wenyewe mikoba ambayo haichakai, hazina isiyopungua kamwe katika mbingu,+ ambapo mwizi hakaribii wala nondo hali.
33 Uzeni+ mali yenu na mtoe zawadi za rehema.+ Jifanyieni wenyewe mikoba ambayo haichakai, hazina isiyopungua kamwe katika mbingu,+ ambapo mwizi hakaribii wala nondo hali.