20 Akina ndugu, msiwe watoto wachanga katika nguvu za uelewaji,+ lakini iweni watoto kuhusiana na ubaya;+ hata hivyo iweni watu wazima katika nguvu za uelewaji.+
13 mpaka sisi sote tuufikie umoja katika imani na katika ujuzi sahihi wa Mwana wa Mungu, kufikia kuwa mtu aliyekomaa,+ kufikia kipimo cha kimo ambacho ni cha ujazo wa Kristo;+