Mathayo 17:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Siku sita baadaye Yesu aliwachukua Petro na Yakobo na Yohana ndugu yake akawapandisha katika mlima mrefu wakiwa peke yao.+ Luka 9:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Kwa kweli, karibu siku nane baada ya maneno hayo, aliambatana na Petro na Yohana na Yakobo wakapanda mlimani ili kusali.+
17 Siku sita baadaye Yesu aliwachukua Petro na Yakobo na Yohana ndugu yake akawapandisha katika mlima mrefu wakiwa peke yao.+
28 Kwa kweli, karibu siku nane baada ya maneno hayo, aliambatana na Petro na Yohana na Yakobo wakapanda mlimani ili kusali.+